Mkopo wa dharura    

  Kiwango cha Juu cha mkopo huu ni TZS 3,000,000/=

*        Muda wa juu wa marejesho ni mwaka mmoja  (miezi 12)

*         Mwanachama anaweza kukopa kiasi chochote kisichozidi  TZS 3,000,000/= kulingana na mahitaji yake na uwezo wa          kurejesha

*         Riba ya asilimia 2% kwa mwezi kwa njia ya reducing

*         Bima ya asilimia 1% ya kiwango cha mkopo

*         Ada ya fomu TZS 10,000